
Rais Zuma amesitisha mpango wa kuongeza ada katika vyuo nchini humo. Uamuzi huo umekuja baada ya wanafunzi wa vyuo hivyo kuandamana katika mji wa Pretoria kupinga mpango huo uliotangazwa hivi karibuni.
Matokeo ya maandamano hayo ni pamoja na vyuo kufungwa, jambo ambalo hilo limekuja baada ya wanafunzi hao kufanya vurungu katika mitaa mbalimbali iliyopo nchini hapo hususani Pretoria na hivyo kuwalazimu polisi kuingilia kati.
0 comments:
Post a Comment