Maamuzi ya mahakama juu mita 200


Kupitia kifungu cha sheria ya uchaguzi namba 104(1) kinakataza mikutano bila kujali umbali wake. Kifungu hicho ndicho kilicho kuwa kikwazo kwa wadai hao juu ya taratibu iliyokuwa ikifuatwa katika uchaguzi zote za nyuma.
Jopo la majaji hao watatu waliokuwa katika mahakama hiyo walitumia kifungu hicho kuzuia aina yoyote ya makutano baada ya tukio la kupiga kura.
Jopo hilo liliongeza kwa kusema “Katika jengo linalopigiwa kura ambalo baadaye linageuka kuwa la kuhesabia kura hairuhusiwi kuonekana nembo ya chama chochote, picha ya mgombea ama alama yoyote itakayoonyesha ni mwanachama wa chama fulani.

“Umbali wa mita 200 hairuhusiwi kuonekana mabango, bendera, picha, nembo na vitu vingine vyovyote vitakavyoonyesha uanachama wa chama fulani,”
Tamko hilo limewafanya wadai hao kukata rufaa baada ya kutoridhika na maamuzi hayo yaliyotolewa na majaji hao watatu.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment