Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee washindi tuzo Afrimma


Bendera ya Tanzania ya peperushwa vyema katika Tunzo za Afrimma baada wasanii watatu (Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee ) kuwakilisha vyema nchi katika Tuzo hizo.
Diamond amejipatia Tunzo ya msani bora wa kiume katika ukanda wa Afrika Mashariki, video bora ya kucheza pamoja na msanii wa mwaka huku Vanessa akipokea ya msanii bora wa kike katika ukanda wa Afrika Mashariki na Ommy Dimpoz kama chipukizi bora.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment