Afrimma

 
Ni matumbo joto kwa wasanii wa Afrika wakiwa wanasubiria tunzo za Afrimma kutangazwa. Tukio ambalo litafanyika tarehe 10/10/ 2015 huku Tanzania ikishuhudia wasani wake wengi wakishindanishwa katika vipengele vingi kama ile ya msanii bora wa kiume na kike.
Daimond, Alikiba, Ommy Dimpoz, Vanessa Mdee, Khadija Kopa, Mjomba ni baadhi ya wasanii kutoka Tanzania wanaoshindanishwa katika vipengele mbalimbali vya Tunzo hizo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment