Huku tukitazamia kipindi cha kwanza goli pekee lilopatikana katika dekika 45 za mwanzo la Elias, M jezi namba 15 liliiweka Taifa Starz kifua mbele dhidi ya timu hiyo hatari ya Algeria.
Hadi kufikia mwisho wa kipindi cha kwanza tumeshuhudia mshambuliaji Mbwana Samata akipoteza nafasi takribani tatu na Ulimwengu nae akipoteza mbili.
0 comments:
Post a Comment