Kasimu Majaliwa atangazwa Waziri Mkuu

Rais Dr John Pombe Magufuli amteua Mh. Kasimu Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa serikali ya Jamuhuli ya Tanzania, jambo ambalo linamfanya kuwa Waziri mkuu wa kumi na mbili katika orodha ya mawaziri wakuu wa Tanzania.
Kasimu alikuwa naibu waziri wa tamisemi katika serikali ya nne chini ya Rais Mstafu Dr Jakaya Mrisho Kikwete.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment