Kiongozi wa IS auawa kwenye shambulio

Waziri Mkuu wa Uigereza, David Cameron, ameithibitishia dunia juu ya kifo cha kiongozi wa IS(Mohammed Emwazi) kupitia shambulio lilofanyika hivi karibuni likiongozwa na vikosi vya anga vya Marekani.
Mohammed Emwazi alikuwa raia wa Uingereza ambaye alionekana akishiriki katika mauaji ya waandishi wa habari kutoka Marekani kama Steven Sotloff, James Foley pamoja na Kenji Goto mwandishi wa habari kutoka Japani kupitia video zilizorushwa mitandaoni.
Japo tukio hilo limeonekana kuwa muhimu na la kujivunia lakini viongozi wengine wa kisiasa kama Jeremy Corbyn, wameliona kuwa si jema bali ingekuwa vyema akamatwe na kufunguliwe mashtaka.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment