Zoezi la kuzuia hatarishi hiyo ilianza masaa mawili kabla ya mchezo hiyo kwa kuwatoa mashabiki wote waliokuwa wameshakusanyiika katika uwanja huo.
Nae Chancellor Angela Merkel ambae alikuwa anaelekea uwanjani hapo kushusuhudia timu yake ilimbidi arudi kwake kuepusha hatarishi hiyo.
Hii inakuwa ni mchezo nyingine kuairishwa kwa hofu ya usalama na tetesi za uwepo wa milipuko uwanjani.
0 comments:
Post a Comment