IS na milipuko Paris

From left, French Interior Minister Bernard Cazeneuve and President Francois Hollande and other officials walk out of the Elysee Palace after a Defense council meeting following attacks Friday in Paris, France, Nov. 14, 2015.Duru za habari zimesema kuwa watu takribani 127 wamepoteza maisha huku 200 wakijeruhiwa katika maeneo sita tofauti jijini Paris, kupitia milipuko inayosemekana kufanywa na magaidi wa IS.
Kikundi hicho cha IS kimethibitisha kuhusika kwa mashambulizi hayo sita kama majibu ya mashambulizi ya anga yaliyofanywa juu yao hivi karibuni.
Tukio hilo limemlazimu Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, kufunga mipaka ya nchi hiyo na kuwasambaza wanajeshi takribani 1,500 kwa ajili ya kuongeza ulinzi lakini pia kudhibiti tukio lingine kama hilo kutokea katika maeneo mengine ya jiji hilo la kibiashara.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment