Utovu wa nidhamu wamponza Jose Mourinho


Kocha huyo almarufu kama ''The Special One"amejikuta akiambulia adhabu, baada ya uongozi wa FA kutoridhishwa na mwenendo wake katika mchezo dhidi ya West Ham United.
Jose alijikuta akitolewa nje ya uwanja mapema tuu kabla ya kipindi cha pili kuanza, pamoja na Jose kupata adhabu hiyo msaidizi wake nae allijikuta akitolewa pia nje ya uwanja baada ya kuonyesha utovu wa nidhamu pia.
Chelsea ilijikuta ikikubali kichapo kwa wapizani wake West Ham United ya mabao mawili dhidi ya moja waliolipata.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment