Machafuko nchini Guinea kuelekea Uchaguzi mkuu



Zikiwa zimebaki siku kadhaa Guinea kufanya Uchaguzi  mkuu, kumezuka vurugu kubwa ambapo takribani watu wawili waliuawa na 33 kujeruhiwa katika mapigano yalitokea siku ya Ijumaa kati ya wafuasi wa Raisi Alpha Conde na mpinzani wake mkuu.
Katika harakati za Vyombo vya usalama kukomesha machafuko hayo, askari kumi na wanane walijeruhiwa.
Upinzani umemkuwa ukitaka uchaguzi uahirishwa kwa madai kuwa umegubikwa na sintofahamu madai ambayo yamekuwa yakikanushwa vikali na chama tawala.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment