Kikwete Youth Park

Kituo kilichopewa jina "Kikwete Youth Park" kimefunguliwa na kupewa jukumu la kukuza na kuendeleza vipaji kwa watoto chini ya miaka 18 na zaidi.
Kituo hicho cha kisasa kimejengwa na kampuni ya Symbion Power chini ya udhamini wa klabu ya Sunderland, England ambapo mafunzo yote yatatolewa na uongozi wa Sunderland.
Mpira wa miguu, kikapu na mpira wa wavu ni miongoni mwa michezo itakayofundishwa katika kituo hicho.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment