Chama hicho kimekuwa madarakani tangu Mwaka 2011, na kuweka historia ya kuwa chama cha kwanza cha kiislamu kaskazini mwa bara la Afrika kushinda uchaguzi mkuu na cha kwanza kuongoza serikali.
Kuhusu uchaguzi huo, Waziri Mkuu Abdelilah Benkirane amesifu mchakato mzima wa upigaji kura kwa kumalizika bila dosari, huku akisitiza kuwa demokrasia itasimamiwa vyema.
Watu takribani milioni 15 walitegemewa kushiriki katika mchakato zoezi hilo la upigaji kura, huku jumla ya wagombea 140,000 wakiwa wagombea katika uchaguzi huo, huku waangalizi 76 kati ya 4,000 wakitoka nje ya Morocco.
0 comments:
Post a Comment