Jeshi la polisi lafanya kongamano na wanasiasa pamoja na viongozi wa dini



Katika harkati za Jeshi la Polisi kuhakikisha swala la amani na utulivu nchini Tanzania linaimarika kipindi cha uchaguzi, Jeshi hilo limeongea na wanasiasa pamoja na viongozi wa dini kuhakikisha dhamira hiyo inafanikiwa.

RPC wa kinondoni aliwaomba wanasiasa kuepukana na swala la uchochezi katika majukwaa ya kisiasa, huku akiwasisitiza wachukue jukumu la kuwaelimisha wanajamii juu ya haki zao za msingi katika kipindi hichi cha uchaguzi. 

Aidha kamanda huyo aliwatazama  viongozi wa dini pia na kuwaomba waungane nae katika harakati hizo za kuhakikisha amani ndani ya nchi inadumishwa, swala hilo likakaziwa na Shekhe kwa kuonyesha umuhimu wa amani nchini.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment