
Maelfu ya wahamiaji waliwasili nchini Austria baada ya
serikali ya Hungary kutoa mabasi ya kuwasafirisha ambapo walipokelewa na
shirika la msalaba mwekundu wakionekana wamechoka lakini wakiwa na furaha.
Mabasi hayo yalianza kuwasili siku ya Ijumaa mjini Budapest,
kwenye kituo cha Keleti, ambacho kimekuwa kambi mbadala ya maelfu ya
wahamiaji.
Hatua hiyo imefuatia juhudi zinazoendelea za
Mataifa ya Umoja wa Ulaya kukabiliana na ongezeko kubwa la wakimbizi.
Alfajiri ya Jumatatu, maelfu wa wahamiajia hao walianza kuwasili Ujerumani na kupokelewa vyema na wakazi wa nchi hiyo.

Huku Waziri Mkuu wa Waingereza akisitiza kuwa wako tayari kupokea maelfu ya wakimbizi katika nchi hiyo.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment