Wayne Rooney avunja rekodi ya Sir Bobby Charlton

Wayne Rooney scores the penalty that made him England’s highest goalscorer.Mchezaji huyo anaekipigia klabu ya Manchester United, amefanikiwa kuvunja rekodi ya mwanasoka wa zamani Sir Bobby Charlton baada ya kufanikiwa kupachika mabao 50, bao moja zaidi ya Bobby.
Bobby amekuwa kinara wa magori kwa mda zaidi ya miaka arobaini, na amekuwa akienziwa kwa mda mrefu kama mmoja wa wachezaji muhimu wakihistoria waliotoa mchango mkubwa katika soka la Uingereza.
Goli la Rooney, 84, kwa njia ya mkwaju wa penati uliifanya Manchester United kufikisha idadi ya magori 8 ndani ya mechi mbili walizocheza katika harakati za kufunzu kwenda Ufaransa kucheza kumbe la Ulaya mwaka kesho.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment