Magoli yalifungwa na Rooney (13), Brolli (30), Barkley (46), Walcott (68,78) na Kane (77).
Pamoja na furaha ya ushindi wa mabao sita, kwake Rooney ilikuwa siku ya kihistoria baada ya kufikia idadi ya magori 49 sawa na yale ya mkali wao wazamani Sir Bobby Charlton.
Ushindi uliofuatia katika mechi illiyofuata ilimfanya mshambuliaji huyo kuwa mchezaji aliefunga magoli mengi zaidi kuliko mchezaji mwingine Uingereza.
0 comments:
Post a Comment