Ndege hiyo iliyokuwa ikiruka ikielekea Senegal ikitokea Bukina
Faso, Senegal Air, imepotea ikiwa na watu saba ndani yake.
Ndege hiyo ilipotea kutoka kwenye rada muda mfupi baada ya saa moja
jioni ya Jumamosi iliyopita.
Vikosi vya uokoji vimekuwa vikijitahidi kuitafuta ndege hiyo inayohofiwa kuangukia baharini.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment