Steven Kesh aaga dunia


Ni majonzi katika nchi ya Nigeria baada ya kumpoteza kocha wao Steven Kesh.
Wengi walimfahamu kama the BIG BOSS kwa kuiongoza timu ya Nigeria almarufu kama SUPER EAGLES.
Kocha huyo aliweza kuiongoza Nigeria hadi mwishoni mwa mwaka 2014 na kuweza kutwa kombe la mataifa ya Afrika mwaka 2011.
Steven Keshi alizaliwa namo mwako 1964, huku mwaka 1994 akatwaa kombe hilo akiwa kama mchezaji muhimu ndani ya kikosi hicho.
Katika safari yake ya soka, aliweza kukipiga Belgium kabla ya kwenda kujifua mafunzo ya ukocha.
Miongoni mwa-vikosi alivyofundisha ni nje ya Nigeria ni pamoja na Mali
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment