Ni michuona ambayo inatarajiwa kupigwa kuanzia tarehe 4 ya mwezi Juni, huku nyota mahili kama Lionel Messi, Angel di Maria, Chicharito, Luis Suarez, James Rodriguez, Neymar, Alex Sachez na wengine wengi wataonekana katika michuano hiyo ya Copa America.
Ukiachia mbali majina ya mastaa hao mahili, wapo ambao watakosa michuano hiyo mikali. Miongoni mwao ni mlinda mlango namba moja wa Real Madrid, Navas ambaye pamoja na kuwa mlinda mlango tegemezi katika klabu yake, lakini nafasi amekakosa.
WEEK 1
4 JUNE 2016
USA Vs COLOMBIA
5 JUNE 2016
COSTA RICA Vs PARAGUAY
HAITI Vs PERU
BRAZIL Vs ECUADOR
6 JUNE 2016
JAMAICA Vs VENEZUELA
MEXICO Vs URUGUAY
7 JUNE 2016
PANAMA Vs BOLIVIA
ARGENTINA Vs Chile
0 comments:
Post a Comment