Mwaka 2010 Dunga alijivua ukocha baada ya
kutoka hatua ya robo fainali ya kombe la dunia.
Dunga aliitwa tena
kama kocha mkuu wa timu hiyo mwaka 2014 akichukua nafasi ya Luiz Felipe Scolari
mpaka kufukuzwa kwake.
Habari hii imeandaliwa na mwandishi wetu HASHIMU CHAMBUSO, mwanafunzi wa shule kuu ya uwandishi wa habari na mawasiliano kwa umma.
Habari hii imeandaliwa na mwandishi wetu HASHIMU CHAMBUSO, mwanafunzi wa shule kuu ya uwandishi wa habari na mawasiliano kwa umma.
0 comments:
Post a Comment