Joe Hart amekuwa kipa namba moja katika kikosi cha Manchester city kwa kipindi cha misimu sita lakini kwasasa yawezekana akapoteza nafasi hiyo.
Pamoja na kuitumikia timu hiyo amekuwa akitumikia timu yake ya Taifa kama namba moja pia.
Tangu Pep Gadiola aanze kuinoa timu hiyo amekuwa akimweka mkali huyo benchi jambo ambalo limekuwa likishtusha mashabiki wengi wa jiji hilo.
Duru za habari nazo zime-ripoti kuwa kocha huyo amekuwa akimwinda mlinda mlango wa Barcelona yaani Bravo, swala linalomfanya Hart kuhofia kuachwa katika msimu huu wote.
Gadiola ameonekana kudhamilia kuweka mfumo mpya katika kikosi hicho kwani hata kiungo Yaya Toure amekuwa akikaa benchi tangu Gadiola aanza kufundisha kikosi hicho.
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment