Ni ushindi wa pili huo kwa Chelsea na kunyakua point tatu nyingine muhimu kabisa.
Pamoja na kupata upinzani mkubwa katika michezo yake ya kwanza lakini wakali hao wanaonekana kuwa na imani ya kufanya vyema katika michezo inayofuata.
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment