Arnold, 69, amezindua mashindano ya watunisha misuli na wabeba vitu vizito mjini Hong Kong leo.
Mashindano hayo yatakuwa yakifanyika barani Asia kwa mara ya kwanza baada ya mashindano hayo kufanyika katika mabara mengine kama vile bara la Marekani ya Kaskazini.
Katika ujana wake Arnold alijizolea umaarufu kupitia movie zake mbalimbali na ushupavu wake katika unyajuaji wake wa vyuma vizito.
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment