Liverpool 0 vs 4 Mainz
-Ilikuwa nifuraha kwa vijana wa Anfield siku ya jana kwa kuichapa Barcelona lakini leo imekuwa majonzi baada ya wakali hao kupokea kipigo cha bao 4 na vijana wa Mainz.
Bao la kwanza lilipatikana kupitia Cordoba dekika ya 45, huku mabao mengine yakipatikana kupitia Malli na Muto katika dekika ya 59 na 75.
Kwa taarifa zaidi tazama mchezo huu hapa
0 comments:
Post a Comment