Channel kongwe ya burudani EATV inatarajia kutoa tunzo kwa wasanii kadha wa kadha chini ya udhamini wa Vodacom.
Ni kategori 10 ndizo zimewekwa mezani kuwaniwa na wasanii hao wa Tanzania.
Itakumbukwa hapo kabla kulikuwapo na tunzo za Kilimanjaro Awards ambazo mwaka huu zilishindwa kufanyika.
Tunzo hizo zitahusisha wanamziki na wacheza filamu.
Swali ni je tunzo za EATV zitapata mwitikio mzuri kama za Kili Awards?
Kubwa pongezi kwao EATV kwa hatua hiyo kubwa.
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment