Wananchi wakiwa na hamu ya kupokea matokeo ya Urais nchini hapo, leo hii mwenyekiti wa tume hiyo amesitisha mchakato huo wa utangazaji mato...
Home / Archive for October 2015
Wananchi wa Congo Brazzaville wamekataa kuongeza mhula kwa Rais
Denis Sassou Nguesso mwenye umri zaidi ya miaka 70 aliomba mabadiriko ya katiba ili apate fursa ya kuongoza mhula mwingine wa kuwania kiti ...
Uchaguzi wazidi kunoga
Matokeo yanayotolewa na tume yamezidi kushangaza watanzania wengi baada ya kushuhudia wabunge mashauri kutemwa katika majimbo yao. Hii im...
Utovu wa nidhamu wamponza Jose Mourinho
Kocha huyo almarufu kama ''The Special One"amejikuta akiambulia adhabu, baada ya uongozi wa FA kutoridhishwa na mwenendo wake ...
Diamond ashinda MTV-(EMA)
Ulikuwa ni usiku wa sherehe za tunzo MTV (EMA) ambapo barozi wa Tanzania Daimond Platinumz alifanikiwa kupeperusha vyema bendera ya Tanza...
Justin Beiber ang'ara katika tunzo za MTV (EMA)
Ulikuwa usiku mzuri kwa msanii Justin Beiber baada ya kufanikiwa kondoka na tunzo tatu ikiwa ni pamoja Best male, Best look, Biggest fans, ...
Matukio ndani ya Uchaguzi
Rais Kikwete apanga foleni ya kupiga kura kama mwananchi wa kawaida
Uchanguzi 2015 Tanzania (day 1)
Hatimaye siku ile iliyokuwa ikisubiriwa na wengi imetimia na wengi wamefanikiwa kushiriki katika mchakato huo wa upigaji kura. Pamoja na w...
Muhtasari wa uchaguzi 2015 Tanzania
Jumla ya vituo vya kupiga kura ni 72,000 Idadi ya wagombea Uraisi ni 8 Idadi ya wagombea Ubunge katika majimbo 264 ni 1,218 Idadi ya wago...
Maamuzi ya mahakama juu mita 200
Kupitia kifungu cha sheria ya uchaguzi namba 104(1) kinakataza mikutano bila kujali umbali wake. Kifungu hicho ndicho kilicho kuwa kikwazo ...
Ongezeka la ada South Africa la sitisha
Rais Zuma amesitisha mpango wa kuongeza ada katika vyuo nchini humo. Uamuzi huo umekuja baada ya wanafunzi wa vyuo hivyo kuandamana katika ...
Uchaguzi Tanzania
Tarehe 25 mwezi October ni siku maalumu kwa watanzania wote, kwani siku hiyo zoezi lilokuwa likisubiriwa kwa mda mrefu litatendeka. Zoez...
Kikwete Youth Park
Kituo kilichopewa jina "Kikwete Youth Park" kimefunguliwa na kupewa jukumu la kukuza na kuendeleza vipaji kwa watoto chini ya mia...
Lamar Odom aendelea kupata matibabu Vegas Hospital
Ukiachia mbali madawa ya kulevya yamesababisha utengani wa Lamar Joseph Odom na mke wa Khole Kadarshan lakini pia nafasi yake katika ki...
Taifa Starz yaioindosha Malawi
Ushindi wa Malawi katika mechi ya marudiano nchini Malawi haujafanikiwa kuipatia timu hiyo nafasi ya kufuzu katika harakati za kuendelea kut...
Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee washindi tuzo Afrimma
Bendera ya Tanzania ya peperushwa vyema katika Tunzo za Afrimma baada wasanii watatu (Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee ) kuw...
Venus William agoma kustaafu
Mwanadada maarufu kwa mchezo wa tenesi amegoma kustaafu na kusisitiza kuwa anajifua vilivyo ilikushiriki katika kombe la Hong Kong Open. ...
Machafuko nchini Guinea kuelekea Uchaguzi mkuu
Zikiwa zimebaki siku kadhaa Guinea kufanya Uchaguzi mkuu, kumezuka vurugu kubwa ambapo takribani watu wawili waliuawa na 33 kujeruhiwa kat...
Tanzania kuzima mitambo ya umme inayotumia maji
Serikali ya Tanzania imesema kuwa itazima mitambo ya umme inayotumia maji hivi karibu kutokana na vina vya maji vinavyozalisha umeme huo kup...
Malkia wa Pembe za ndovu "Queen Ivory" atiwa mbaroni
Raia wa Asia kutoka nchi China, Yang Feng Glan, ajulikanae kama Queen of Ivory (66) amewekwa chini ya ulinzi kwa tuhuma za kujihusisha na m...
Afrimma
Ni matumbo joto kwa wasanii wa Afrika wakiwa wanasubiria tunzo za Afrimma kutangazwa. Tukio ambalo litafanyika tarehe 10/10/ 2015 huku Ta...
Hatua za msingi za upigaji kura 25/10/2015
1. Utamkabidhi Msimamizi wa kituo kadi yako ya Kupigia Kura. 2. Nae atakihakiki kitambulisho chako na kulitaja jina lako kwa sauti kub...
Mchungaji Mtikila aaga dunia
Mtikila alizaliwa mkoani Iringa nchini Tanzania, mwaka 1950. Amekuwa mwanasiasa tangu mwanzoni mwa miaka ya 90, pamoja na hayo alikuwa mwana...
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)