Kiongozi huyo wa upinzani amepinga uwamuzi wa Rais wa Sudan Kusini kwa kueleza kuwa Rais huyo hana mamlaka hayo na kuwa hamtambui mteule huyo.
Uamuzi wa Raisi wa Sudan Kusini umekuja baada ya mpinzani huyo kupotea kwa kipindi cha wiki mbili.
Katika mahojiano na kiongozi huyo na duru mbalimbali kupitia simu ya kiganjani amesema kuwa yeye ndiye makamu wa Rais.
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment