Diamond aachia kibao kipya


Siku iliyokuwa ikisubiriwa na mashabiki wengi wa bongo flava juu ya kazi mpya ya msanii Daimond Platinumz, imewadia huku wengi wakiwa na shauku nini mkali huyo ameanda kuachia kwa Dunia.
Kama ilivyo ada msanii huyu amekuwa akiachia nyimbo kali kila kukicha, jambo ambalo limempa upenyo wa kuzidi kupiga hatua ambazo zimemfanya  akwee mbali zaidi ya anga za Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na hivi sasa duniani.
Pamoja na msanii kung'a nyema kupitia vibao vyake vikali, lakini amefanikiwa kupata tunzo nyingi ambazo zimemfanya kuwa msanii wa kipekee ndani na nje ya Tanzania na Afrika kiujumla.
Pata kibao chake kipya.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment