Kanye West kugombea Urais

Kanye West kuwania Uraisi 2020 Marekani

Msanii huyo wa miondoko ya Hip pop, Kanye West, alitangaza dhamila yake ya kukimbilia Ikulu ya Marekani almarufu kama "White House" katika hafla ya ugawaji tuzo za MTv.

 Tokeo la picha la kanye waste on MTV awards ceremony 2015 
"Nimeamua mwaka 2020 kugombea urais," Kanye West alisema haya baada ya kupokea tuzo ya msanii mwenye mfanikio zaidi katika tasnia ya muziki (career achievement award) pindi alipopewa kipaza sauti azungumze machache baada ya kupokea tuzo hiyo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment